Waziri wa Ulinzi wa Kenya Aden Duale amesema kuwa Kenya itashinikiza mashtaka dhidi ya mwanajeshi yeyote wa Uingereza anayedaiwa kuvunja sheria wakati wanajeshi hao walipokuwa nchini humo miongo ...
Gumzo la Harambee limeibuka tena nchini Kenya katika siku za hivi karibuni kufuatia agizo la Rais William Ruto kuwapiga marufuku watumishi wa serikali kujihusisha na shughuli za kutoa michango ...